Connect with us

General News

Msilazimishe vyama vidogo kuungana – Muturi – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

Msilazimishe vyama vidogo kuungana – Muturi – Taifa Leo

Msilazimishe vyama vidogo kuungana – Muturi

NA JAMES MURIMI

MGOMBEAJI urais wa chama cha Democratic Party Justin Muturi, ameonya vyama vidogo dhidi ya miungano kadhaa ya kisiasa kabla ya uchaguzi mkuu wa Agosti 9.

Bw Muturi ambaye pia ni spika wa Bunge la Taifa, alisema vyama vidogo vya kisiasa havifai kulazimishwa kujiunga na miungano inayoibuka lakini vinafaa kuruhusiwa kujijenga mashinani na kunawiri hadi siasa za kitaifa.