[ad_1] Mzee ashtakiwa kwa kuingia eneo la makaburi bila idhini Na TITUS OMINDE MZEE mmoja alishtakiwa jana katika mahakama ya Eldoret kwa kuingia bila ruhusa katika...
[ad_1] ODM yaimarisha juhudi kupatanisha Nassir na Shahbal Na BRIAN OCHARO CHAMA cha ODM kiko mbioni kuepusha mpasuko ambao huenda ukatokea, iwapo mchujo wa kuamua atakayewania...
[ad_1] Mbunge ahimiza wazazi wajitahidi kulipa karo shuleni Na ALEX KALAMA MBUNGE wa Kaloleni, Bw Paul Katana, amewaomba wazazi wajitahidi kulipia wana wao karo za shule,...
[ad_1] Omanga amtetea Ruto kwa kuahidi kuwapiga jeki makahaba Na CHARLES WASONGA SENETA Maalum Millicent Omanga ndiye mwandani wa kwanza wa Naibu Rais William Ruto kujitokeza...
[ad_1] Wasichana waliojifungua warejeshwa shuleni Na BRIAN OJAMAA WASICHANA zaidi ya 800 waliojifungua mapema katika Kaunti ya Bungoma wamerejeshwa shuleni baada ya viongozi eneo hilo na...
[ad_1] Meidi anunulia mwajiri bahili nyama kilo tano MURANG,A MJINI Na MIRIAM MUTUNGA KIJAKAZI wa hapa, alishangaza mdosi wake alipoenda sokoni na kununua nyama ya kilo...
[ad_1] Walioteketeza shule watozwa Sh50,000 GEORGE MUNENE Na ALEX NJERU WANAFUNZI sita walioshutumiwa dhidi ya kuteketeza bweni nne na kuharibu mali yenye thamani ya Sh11.1milioni walishtakiwa...
[ad_1] Wahudumu wa baharini watakiwa kuzingatia sheria Na KALUME KAZUNGU NAIBU Kamishna anayesimamia Kaunti Ndogo ya Lamu Magharibi, Bw Michael Yator, amewataka wahudumu wote wa vyombo...
[ad_1] Makueni yapinga agizo Taveta itoze kodi Mtito Na PHILIP MUYANGA SERIKALI ya Kaunti ya Makueni, imepinga agizo la mahakama ambalo liliipa Serikali ya Kaunti ya...
[ad_1] BENSON MATHEKA: Ili kuadhibu viongozi wabaya, vijana wajisajili kupiga kura Na BENSON MATHEKA KUNA kila dalili kwamba Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)) haitatimiza...