[ad_1] Mswada tata wa vyama kujadiliwa Jumatano IBRAHIM ORUKO na DAVID MWERE KAMATI ya Bunge Kuhusu Sheria imekubali malalamishi ya umma na kuamua kupunguza muda ambao...
[ad_1] Harry Kane aongoza Spurs kupepeta Crystal Palace katika gozi la EPL Na MASHIRIKA KOCHA Antonio Conte wa Tottenham Hotspur amesema itakuwa “vigumu sana” kutomchezesha Harry...
[ad_1] WANDERI KAMAU: Viongozi wa kidini nchini wamwige Desmond Tutu Na WANDERI KAMAU SIFA kuu anayopaswa kuzingatia mwanadamu anapoondoka hapa duniani, ni jinsi alivyowasaidia wanadamu wenzake...
[ad_1] Simanzi tele baada ya kifo cha Tutu, 90 Na PETER DUBE JOHANNESBURG, Afrika Kusini ASKOFU Desmond Tutu wa Afrika Kusini amefariki Jumapili akiwa na umri...
[ad_1] MAKALA: Usalama barabarani ni wajibu wetu sote Na WINNIE ONYANDO AJALI barabarani hasa msimu wa Krismasi ni suala la jadi ambalo kwa miaka mingi halijapata...
[ad_1] Wazazi washauriwa kulinda watoto dhidi ya baridi Na KENYA NEWS AGENCY HUKU watu wakiendelea kujumuika na wapendwa wao wakati huu wa sherehe za Krismasi na...
[ad_1] Mgomo wanukia ligini EPL LONDON, Uingereza Na MASHIRIKA Mvutano kati ya Shirikisho la Soka Uingereza (FA) upande mmoja na wachezaji na makocha upande mwingine kuhusu...
[ad_1] Maelfu wafurika Pwani usalama ukiimarishwa WINNIE ATIENO NA BRIAN OCHARO SERIKALI imemwaga polisi wa kutosha katika maeneo hatari Pwani, huku mamia ya wasafiri kutoka mashambani...
[ad_1] Ushindani mkali Team Kenya nusra umfanye awakimbilie Bahrain Na MASHIRIKA MNAMO 2002 Jepkosgei alikuwa katika timu iliyoelekea Jamaica kwa mashindano ya World Junior Championships, akaibuka...
[ad_1] Robert Lewandowski mashine ya kufunga mabao Na GEOFFREY ANENE>> MSHAMBULIAJI nyota Robert Lewandowski, anayefahamika kwa wenzake kama Lewy, amekuwa mashine ya kufunga mabao kwa mwongo...